YANGA Vs STAND UNITED

Ikiwa ni maandalizi ya kujiandaa na Ligi Kuu Bara, Yanga itaivaa Singida United katika mechi ya kirafiki itakayopigwa Agosti 8 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar.

Tayari uongozi wa Singida United umethibitisha kuwepo kwa mechi hiyo kwenye Uwanja wa Taifa.

Timu zote mbili zinadhaminiwa na kampuni ya michezo ya kubashiri ya SportPesa.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).