sehemu ya NNE (4); SIKUJUA KAMA YANGEKUWA HAYA.Na GODFREY MPAGIKE

SIMULIZI; SIKUJUA KAMA YANGEKUWA HAYA
SEHEMU YA NNE
Na GODFREY MPAGIKE

Ilipoishia; huku maneno yake kwa mbali ambayo nahisi tulikuwa tukiyasikia sisi wawili tuu kwa wakati ule, huku akisema honey,,,,,,,,,,,,,,,

basi ukisikia excited state ndo ilikuwa ile sasa huku mtoto akitoa maneno matamu ambayo yalikuwa kwa mbaliiii! ambayo nilihisi kwa wakati ule tulikuwa tunayasikia sisi wawili peke yetu na nadhani ilikuwa hivyo kwani ukimya wa usiku ule bila vurugu yeyote mpaka nikahisi mungu nae kaingilia siku ile, iiwe ndiyo siku yetu na sisi kwani tulikuwa tukisikilizia kwenye redio tuu kilasiku.
Sasa kwakuwa muda ulikuwa umeenda sana na mimi nilikuwa nimechoka kusimama tena ukijumlisha kuegemewa nikaamua nikae kwenye gogo lililo kuwa limelazwa chini pale pembeni yetu. Nikafanikiwa kufanya hivo kisha akanisogelea tena hapo ndipo akawa amepata nafasi kubwa zaidi kwani sasa alikuja na kunikalia na nikawa nimempakata sasa na hapo ndo akawa kazidisha sasa kuliamsha dude, lakini sikuona shida licha ya kuwa nilikuwa mwembamba zaidi yake nikajikuta napakata kwelikweli. Kilichofuata kwa wakati ule sasa akawa anadeka kama mtoto mdogo. Basi namimi nikajikuta naanza kusogeza mikono yangu mdodgo mdogo kifuani kwake huku akiwa anashika mikono yangu kutaka kuitoa lakini mi nilikuwa nalazimisha kwani niligundua wenda udhaifu wake ndipo ulipo pale anapozuia mkono wangu usifike.
Ndipo nikamwambia now tell me nini ulitaka kuniambia my usiogope mi nipo kwaajili yako ndo maana nipo nje hadi wakati huu my, hapo nilikuwa natafuta namna ya kutoka haraka mana nilikuwa nimechoka nasinzia kama kuna jambo lifanyike tuu nikalale afu tutaonana kesho. Chakushangaza J aka chukua kweli ile nafasi ya kuongea nakuniaambia kuwa angependa kwa leo tukalale wote kabisa labda ndo hamu yake itaisha kabisa.
Hapo ikawa mtihani tena kwanza nikifikilia kwao kama watamtafuta pili japo kwangu haikuwa tatizo ila nilihofia endapo baba maana yeye hupenda kuja kwetu wakati wa usiku nakuniuliza kama kunashida yeyote kwani chumba changu kilikuwa ni cha mlango wa nje, nikamuuliza baby sasa ukitafutwa kwenu utajibuje kwamfano, chakushangaza akajibu kwa urahisi tuu nitasema nililala kwako. Duuuu nilihisi ananiletea masihara na hapo ndo akazidi kuniganda.
Nikamwambia its okey twende maana nilihisi kukataa nitaonekana mwanaume suruali nikasimama tukaanza kuondoka kuelekea chumbani kwangu ambapo hapakuwa mbali sana kutoka tulipokuwa tumekaa, hapo akanikumbatia tena na kunibusu na mimi sikutaka kuwanyuma nikaichangamkia fursa ile, tukaanza kumwagiana,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,itaendelea kesho muda kama huu.


Imetayarishwa na GODFREY MPAGIKE
@THE super skeleton
tel; 0759665229,0675748658.



Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).