CHEMICAL: NEY ni handsome


Msanii wa Bongo Flava Chemical ametaja sifa za mwanaume ambaye anamuhitaji katika maisha yake pindi atakapokuwa tayari kuingia katika mahusiano.


Ingawa rapper huyo ameeleza kwa sasa yupo single, amedai anampenda mwanamume ambaye si sharobaro na wakishakubaliana akajitambulishe nyumbani kwao.

“Mimi ni msichana fulani ambaye napenda mwanaume fulani lakini sijui, unajua mapenzi hayachagui, lakini mtu fulani ambaye ni nigger hard unajua sio sharobaro, kawaida real nigger kama Nay,” ameiambia Planet Bongo ya EA Radio na kuongeza.

“Mtu anayetaka aje kwenye familia afuate process, me am still traditional girl usione nafanya hip hop ukachukulia poa. Naamni kuna perfect guy wapo soma where, kwa aje afuate process then it will be ok,” amesisitiza Chemical.


wapi hapo zisije kuwa ndo gia 
imekaaje hii wadau mi nawasogezea tyuu chap

by Godfrey mpagike
KIRAKA.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).