KISA CHA MCHUNGAJI ALIYE MPA BIBLIA Simon Msuva



Mchungaji wa Kanisa la Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) la Rev Godlisten Nkya amempa zawadi ya biblia mshambuliaji wa Yanga, Simon Msuva. 

Msuva anatarajia kuondoka leo kwenda Morocco kujiunga na klabu yake mpya ya Difaa Al Jadid ambayo itashiriki Ligi ya Mabingwa Afrika baada ya kushika nafasi ya pili msimu uliopita. 

Msuva ni muumini katika kanisa hilo, alikwenda kumuaga mchungaji Nkya.


Baada ya kusali pamoja, mchungaji huyo aliamua kumzawadia biblia.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).