TAMBWE Aongeza mkataba wa miaka miwili YANGA

 Mshambuliaji wa kimataifa wa Burundi, Amissi Joselyn Tambwe (kulia) akisaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuichezea Yanga SC huku akishuhudiwa na viongozi wa klabu hiyo. Zoezi hilo limefantika makao makuu ya klabu, Jangwani, Dar es Salaam leo 

Mhasibu Mkuu wa klabu, Baraka Deusdedit akimpekulia kurasa za kusaini Tambwe leo Jangwani

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).