JENGO LATEKETEA KWA MOTO DAR

 Jengo moja lililopo mtaa wa India jirani na Sabodo Parking Tower jijini Dar es salaam limeshika moto mchana huu ambapo vikosi vya zimamoto vimefika eneo la tukio na kufanikiwa kuuzima. Chanzo na madhara yaliyotokana na moto huo bado kujulikana. 

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Faida 10 za kutumia Mafuta ya Nazi