TETESI: MSUVA KUTIMKIA LIGI KUU HISPANIA


Mshambuliaji wa zamani ya Yanga, Saimon Msuva ambaye anaichezea  Difaâ  El Jadida ya Morocco, amesema hakuna lisilowezekana kuhusu tetesi zilizopo za kujiunga na  Malaga.

Moja ya timu ambazo kwa kipindi kirefu zimekuwa zikihusishwa na kumuwinda kwa ukaribu Msuva ni Malaga ya Ligi Kuu Hispania.

"Nilisema kuwa hapa nataka kutumia kama njia ya kwenda sehemu nyingine, safari hii nitalenga Ulaya, ni ndoto yangu kucheza Ulaya, sasa ukiniuliza ni Malaga au wapi nitapata shida kujibu hilo swali kwa sababu hata hapo inawezekana

Comments

Popular posts from this blog

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

Shangazi ananiumiza jamani

MWALIMU afumwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani