NYUMBA ZA LUGUMI ZANADIWA UPYA.Dr Shika ajipanga kivingine.



ni kuhusiana na ule mnada wa nyumba zilizozua gumzo  wiki lililopita kwa mnada huo kuioshia kumpeleka Dr Luis kituo cha polisi jijini dar es salaam.sasa mnada huo kurudiwa tena na Dr. LUIS SHIKA akionesha nia ya kushiriki tena katika mnada huo.

kwa taarifa zaidi endelea kufuatilia blog yetu hapa kila baada ya dakika kwa taarifa za uikweli na uhakika.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).