ILE ISHU YA KICHUYA KUGOMA KUSAINI MKATABA MPYA IKO HIVI
Get link
Facebook
X
Pinterest
Email
Other Apps
HABARI mpya ni kwamba yule winga wa Simba ambaye hana masihara kabisa na Yanga, Shiza Kichuya, amegoma kusaini mkataba mpya klabuni hapo baada ya kupata ofa ya maana kutoka kwa timu moja ya Uarabuni.
Kichuya ni miongoni mwa wachezaji kadhaa ambao mikataba yao na Simba inaelekea ukingoni na mabosi wa timu hiyo tayari wameanza kuhaha kumshawishi auongeze na Meneja wake ambaye ni Profesa Midundo Mtambo amefafanua.
Profesa Midundo amesema kuwa mbali na hilo wameangalia ofa ambayo nyota huyo amepewa ya dola 80,000 (Sh177 milioni) kuwa ni kubwa kuliko ambayo atapewa na Simba.
“Atakwenda Misri, ni kwenye timu ile ile iliyokuwa ikimuhitaji mwanzoni ambapo Simba walitaka pesa nyingi hivyo wakashindwa kumalizana, ndiyo maana waliona ni vema amalize mkataba aondoke akiwa mchezaji huru,” alisema.
“Simba inataka kumwongeza mkataba Kichuya, lakini nimewaambia wasubiri kwanza mpaka mkataba wake utakapomalizika hiyo mwakani, hivyo hataongeza kwa sasa, kikubwa tunaangalia hiyo ofa labda Simba waje na ofa nzuri zaidi napo pamoja na ofa yao mchezaji hataweza kusaini kwa sasa.”
Profesa Midundo alisema kuwa wachezaji wote anaowasimamia wanaoichezea Simba akiwemo Yassin Mzamiru wapo huru kuzungumza na timu nyingine kwa sasa kwani mikataba yao inamalizika.
“Hata Mzamiru mkataba wake unamalizika na tupo tayari kuzungumza na timu yoyote ambayo itamuhitaji. Hatutaki asaini kwanza Simba hadi amalize kabisa mkataba huu wa sasa,” alisema kusema meneja huyo.
PLEASE Help-Siwezi Pitisha Siku Bila kutembea na Malaya Mapenzi Mimi ni Kijana wa Miaka 27 , Nimemaliza chuo Mwaka Jana ...Now nafanya kazi katika shirika moja kubwa hapa Dar es salaam , Wakati nilipokuwa chuo mimi na wenzangu tulikuwa na mchezo wa kwenda pale Corner Bar Kuchukua wasichana wanao Jiuza wa bei ndogo na kujiridhisha...Mchezo huu umeendelea mpaka nimemaliza chuo na nina kazi yangu ..Huwa nasikia raha sana kulala na hao watu...Nina Girlfriend wangu ila huwa nikilala nae sisikii raha kama nikiwa na changudoa....Sasa jioni mara nyingi huwa natoka na kwenda mitaa ya Sinza kutafuta wa kuwa nae kwani kupitisha siku bila hiyo kitu siwezi... Nataka niiache hii Tabia Naomba Ushauri nifanyaje....Admin Plse Post hii Ili watu wanipe Ushauri
Shangazi Yangu Ananisaga Kila Mara, Nifanyeje?? Mapenzi Mimi naitwa NASRA na nina mika 24, hilo nalileta kwenu jambo lango wana-Udakuz naomba mnisaidie ushauri ili niwe kutatua tazizo hili linalonikabili hapa chini: Baada ya mama yangu kufariki 2001 kuna shangazi yangu (ambaye ni mke wa mjomba wangu) alinichukua kwa minajil ya kunilea na kunisomesha ila amekuwa AKINISAGA tokea niko mdogo mpaka sasa! ambapo nikiwa mdogo wakati nimelala nilikuwa nashtuka yupo juu yangu na mimi nipo UCHI huku ananinyonya MATITI na sehemu nyingine za mwili na baadae alikuwa anapanda juu yangu na kunilalia huku akifanya vitu fulani mpaka ananimwagia vitu fulani katika sehemu zangu za siri na kuniambia ninyamaze nisimwambie mjomba "eti atanipa pesa ya kutumia shule na kunipeleka na gari, alipokuwa akimaliza baadae alikuwa akiniogesha na kuninunulia vitu VITAMUTAMU. Nilinyamaza maana sikujua jambo lile ila aliendelea kila mara mchezo wake huo. Mpaka sasa Nimekuwa Lakini anaendelea mchezo huo...
Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe, Mkoani Njombe, Ally Kasinge ameagiza kushikiliwa kwa Makamu Mkuu wa shule ya sekondari Wanike, iliyopo katika wilaya hiyo baada ya kukamatwa akifanya mapenzi na mwanafunzi wake darasani usiku. Kasinge ametoa agizo hilo baada ya kuwepo taarifa ya kuwepo kwa watu wanaotaka kumsaidia mwalimu huyo kuvuruga ushahidi kwa kupanga na wanafunzi wenye ushahidi huo kuongea tofauti na tukio. "Kuanzia wanafunzi walitimuliwa wahojiwe na polisi na wale wanafunzi wengine waliotajwa pia wahojiwe na polisi na mwalimu mwenyewe pia aendelee kushikiliwam huyo ambaye anatuhumiwa aendelee kushiliwa na polisi mpaka tupate majibu, kwa sababu akibaki nje ataendelea kutengeneza mazingira ya kutengeneza mtandao wa kutaka kumsaidia na kupotosha ushaidi" alisema Mkuu wa Wilaya Ally Kasinge Mbali na hilo shule ya sekondari ya Wanging'ombe pamoja na Wanike zimepandishwa hadhi na sasa zitapokea wanafunzi wa kidato cha tano, walimu wa shule hizo wameweka wazi kuwa ...
Comments
Post a Comment