Malinzi Wenzake Wakwama Mahakamani Kesi Yao Hadi Novemba 30

Malinzi Wenzake Wakwama Mahakamani Kesi Yao Hadi Novemba 30


Rais wa zamani wa Shirikisho la Soka nchini (TFF) Jamal Malinzi (wa pili kulia) akifuatiwa na aliyekuwa Katibu Mkuu wa shirikisho hilo, Selestine Mwesigwa, wakirudishwa rumande baada kesi yao kutajwa kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar jana na kuahirishwa mpaka Novemba 30 mwaka huu

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).