Takribani watu 200 wameripotiwa kufariki Kwa Kimbunga



FILIPINO: Takribani watu 200 wameripotiwa kufariki, huku maelfu ya wengine wakiachwa bila makazi baada ya kimbunga kilichopewa jina la Tembin kuikumba sehemu ya Kusini ya nchi hiyo.
-
Ufilipino inakumbwa na wastani wa vimbunga 20 kwa mwaka vinavyoharibu mali na kusababisha vifo vya watu.
-
Wiki iliyopita watu 46 waliuawa na kimbunga eneo la katikati mwa nchi hiyo na mwaka 2013 kimbuga kikubwa cha Haiyan kiliua watu karibia 8,000 na kuwaacha wengine zaidi ya 200,000 bila makazi.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).