Chupa ya Vodka Inayotajwa Kuwa ya Gharama Kubwa Zaidi Duniani Yaibiwa

Chupa ya Vodka Inayotajwa Kuwa ya Gharama Kubwa Zaidi Duniani Yaibiwa


Chupa ya Vodka inayotajwa kuwa ya gharama kubwa zaidi duniani inayopatikana nchini Denmark imeripotiwa kuibiwa.

Inaelezwa kuwa chupa hiyo ambayo ni ya thamani ya Dola za Marekani Milioni 1.3 sawa na Tsh Bilioni 3.1 imetengenezwa kwa dhahabu na fedha na kifuniko chake ni cha madini ya almasi.

Chupa hiyo iliibiwa baada ya kukopeshwa baa moja huko Copenhagen nchini humo ambayo ilikuwa imekusanya chupa za mvinyo kwa ajili ya maonyesho. Polisi wanaendelea na uchunguzi kubaini waliohusika.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).