ALICHO KIFANYA JANA NGOMA YANGA.


Akiendelea kuuguza majeraha yake mshambuliaji wa kimataifa kutoka Zimbabwe Donald Ndombo Ngoma jana aliweza kuwatembelea wachezaji wenzake katika uwanja wa Uhuru jinini Dar es salaam, waliko kuwa wakijifua kwaajili ya muendelezo wa mechi za ligi kuu bara Tanzania

Ikumbuke Ngoma amekuwa nje ya uwanja kwa zaidi ya miezi miwili sasa, tangu aondoke arudi kwao Kwaajili ya matibabu, na wiki tatu akiwa Dar es salaam tangu arejee kutoka kwao.

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).