YANGA YASOGEZEWA MAMILIONI CAF.
Ni baada ya kutolewa kwenye mashindano ya klabu bingwa na kuingia kwenye mashindano ya Shirikisho barani Afrika, hii inakuja baada ya kila timu inapofuzu hatua moja, unakuwa inapata kiasi furani cha fedha. Ambapo inaweza kusaidia Yanga katika mambo yake,,
Bofya hapa kutazama video hii
Comments
Post a Comment