Umeipata hii alivyosema diamond kuhusu Wema


Ninapokuwa karibu na @wemasepetu Basi mafanikio yanakuwa mengi.... Hivyo wanaoona Ukaribu huu ni Big Ishu wanafeli na Inakua Sio Poa kabisa. Mimi na Wema ni marafiki Tu na Hakuna Uhusiano wa Kimapenzi. .

@diamondplatnumz Afunguka hayo katika #ThePlaylist Ya Times FM

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).