HABARI MPYA KUHUSU TSHISHIMBI NDANI YA YANGA.
Kiungo mahiri was Yanga Papy Kabamba Tshishimbi Leo amekabidhiwa zawadi take baada ya kufanikiwa kupata tuzo ya mchezaji bora was mwezi wa pili
Papy alifanikiwa kutwaa tuzo hiyo baada ya kuwa shinda wenzake Pius Buswita (Yanga) na Emmanuel Okwi (Simba).
Tshishimbi amekabidhiwa kiasi cha Tsh milioni moja,na mdhamini mkuu wawa ligi kuu Tanzania bara Vodacom.
Kwa upande mwingine Papy anasuburia zawadi take ya King'amuzi cha Azam TV,kutoka kwa mdhamini mwingine wa ligi Azam.
Comments
Post a Comment