Ujumbe wa MESSI kwa NEYMAR Jr

Kuondoka kwa Neymar katika klabu ya soka ya Barcelona kunaweza kukawa kumemuumiza zaidi Lionel Messi ambaye amekuwa karibu zaidi na mchezaji huyo kwa takribani misimu minne.
Messi kupitia mtandao wa Instagram, amemuandikia ujumbe wa kumuaga rafiki yake huyo ambaye anatarajiwa kukamilisha usajili wake wa kujiunga na PSG ya Ufaransa wiki hii kwa ada ya uhamisho utakaovunja rekodi ya dunia wa paundi milioni 198.
“It was a great pleasure to have shared all these years with you, friend @neymarjr. I wish you good luck in this new stage of your life. See you tomorrow,” ameandika Messi katika mtandao huo.
Neymar alijiunga na Barca mwaka 2013 akitokea Santos ya nchini kwao Brazil

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).