LEO KAMA JANA AU LAA. Tshishimbi kung'ara tena au laa


Leo ni leo pia ambapo mabingwa watetezi YANGA watakuwa uwanjani, kuwavaa Wana wa Paluhengo LIPULI FC kutoka IRINGA huku yanga wakiwa na kiu kubwa tena mara baada ya kupewa kiu na watani wao wa jadi hapo Jana SIMBA mara baada ya kuwacharaza vilivyo RUVU katika uwanja wa Taifa.  

Mchezo huo unatarajiwa kuchezwa mnamo majira ya saa 10 jioni kulingana na ratiba, hivyo tupende kuwataarifu wapenzi wasomaji na watazamaji wa soka kuwa leo tutakuwa tukiwaletea matokeo yote live, kwa kutumia video za magoli nakadharika. 

Dont miss it 
By Godfrey Mpagike 

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).