Wanaume Watoa Wake zao Kama BET ya Mpira Man United Vs Man City...Idriss Sultan Afunguka


From @idrissultan - Zamani nikiona hii ningecheka sanaaaa nisema “Na mvua hii mke wa mtu anafanywa hamna” ila leo nimemaindi na nakupa sababu. Kuna kitu kwa kiingereza kinaitwa “OBJECTIFY” ambacho ni kum-treat mtu au mnyama kama kifaa au kitu.

Kwa Africa naona tumezidisha kidogo hili na maybe ni wakati tukajikagua vizuri. Kwa mfano huu tumemfanya mke wa Amani kama kifaa au kitu, hana usemi katika huu ufala wetu wa mechi za mpira, yeye ni kukaa asubiri Man City ashinde ili apelekwe kwa mawanaume mwingine baada ya wiki arudi. I repeat “Utani tufanye sana ila tukiwa hili tunalijua”. Sijawahi sikia mwanamke anashindwa kwenye bahati nasibu na kusema anamtoa mhanga mmewe

Mahari ni kusema “Nawashukuru wazazi kwa kumtunza mkwe wangu mpaka sasa mnanikabidhi nimpende na kumjali kuliko ninyi” . Haimaanishi “Sasa nimemnunua mtoto wenu na risiti ni cheti cha ndoa”..

Mtume Muhammad (SAW) alikua anaoa mwanamke kwasababu yupo lonely au mumewe kafariki na sio kujionyesha kuwa ana uwezo wa kuoa tu kuonyesha mabavu. We should respect the woman that gives you kids and feeds you hata kama wote mnaamka kwenda kazini ila yeye anafanya extra. DO NOT OBJECTIFY HER 😒.

Mwanaume wa kweli, anayejiamini, anayekubali uwanaume wake, anayejiheshimu hawezi fanya ujinga kama huu. Mkeo ni siri yako wanatakiwa wanaume wakimuona wamuogopeeee balaaa. Acheni siku nikiona mtaona, unamshika hata mkono nakupiga risasi 😒

He in kiki ama LA bofya hapa kutazama mwenyewe,,,kisha toa maoni yako


Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).