SIMBA KUSHINDWA KUWAFURAHISHA MASHABIKI WAO KIDATO CHA NNE TANGU FORM ONE.

Habari za wakati huu ndugu msomaji wa blog yetu na mtazamaji wa online tv yetu iitwayo GODYNEWSTZ TV Ikiwa kama youtube channel.

Leo katika pitapita kwenye mitandao ya kijamii ni matani nikakutana na utani wa kimichezo unaoendelea kunako mitandao hiyo ambao kama ni kuongeza siku za kuishi kwa kucheka kweli watu wameongeza siku zakuishi. 

UTANI wenyewe ni kuhusu mabingwa mara 18 tangu mwaka ligi kuu tanzania bara ianzishwe. Unapenda kujua mautani hayo yakuvutia kwa leo ulikuwa kama hivi. Ni pale KLABU YA WEKUNDU WA MSIMBAZI SIMBA KUSHINDWA KUWAPA HAKI YAO MASHABIKI WAO WA FORM FOUR TANGU WAANZE KIDATO CHA KWANZA HAWAJASHUHUDIA KLABU YAO IKITWAA UBINGWA LIGI KUU VODACOM. 


BY Godfrey Mpagike
@kiraka.
Usisahau kutembelea youtube channel yetu kupata habari mbalimbali kwa video. 

Comments

Popular posts from this blog

Kubemenda Mtoto

Siwezi pitisha siku bila kutembea na malaya

HAYA NDIO MADHARA YA KUFANYA MAPENZI KWA NJIA YA MDOMO. (Oral sex).